HOPE SERVICE STATION

nsekwa

ALTEZA

Jumanne, 20 Mei 2014

HATIMAYE JIJI LA MBEYA WAFANIKIWA KUMKAMATA YULE CHATU ALIYEKUWA ANATISHIA MAISHA YA WANAINCHI



Mtaalamu wa Kukamata Nyoka





Mtaalamu wa Kukamata Nyoka





Mtaalamu wa Kukamata Nyoka

Wananchi wa Mbeya walijitokeza kwenye Ofisi za Jiji la Mbeya kushuhudia



Hali hiyo ikapelekea Kujitokeza kwa Vijana hawa wawili kutokea Bagamoyo na Tanga kwaajili ya kumkamata Chatu huyo.... Hatimaye wamemkamata Chatu Mtoto amekamatwa huku Juhudi zikiendelea Kuhakiki kama kuna Chatu wengineo.... Tazama Video Hii
KAWAIDA

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni