HOPE SERVICE STATION

nsekwa

ALTEZA

Jumamosi, 24 Mei 2014

HAYA NDIO MATUKIO YA BARABARANI YA HATARI ZAIDI MKOANI MBEYA

Powertalla akiwa imebaba abiria kupita  uwezo wake eneo la Chimala wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya
Hii ni safari hatari zaidi
Boda boda inayosafirisha abiria  wengi  zaidi Mbarali mkoani Mbeya  ila askari wa usalama barabarani  wapo na mishikaki ya abiria  wanne ikiendelea
Usalama uko  wapi hapa na hii ni barabara  kuu ya Iringa- Mbeya eneo la Chimala wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni