HOPE SERVICE STATION

nsekwa

ALTEZA

Alhamisi, 22 Mei 2014

MKUTANO WA WAHARIRI NA WAANDISHI WA HABARI KANDA YA NYADA ZA JUU KUSINI ULIOANDALIWA NA TFDA

Mkurugenzi  wa TFDA akitoa  maelezo ya utangulizi  kuhusu  warsha  hiyo leo katika  ukumbi wa RMO mkoani Mbeya
Utambulisho  wa  washiriki  ukifanyika
Mgeni  rasmi  na  wawakilishi wa TFDA wakiingia  ukumbini
Wanahabari  wakiwa katika warsha  hiyo ya  siku  moja leo
Warsha ya  wanahabari na  wahariri mikoa ya nyanda za juu kusini
washiriki  kutoka  mkoa  wa Ruvuma  wakiwa na mgeni rasmi kaimu ras mkoa wa Mbeya Leonard Magacha wa tato  kutoka  kulia na  wawakilishi wa TFDA leo jijini Mbeya
Wanahabari  kutoka  mkoa  wa Njombe wakipiga  picha na mgeni rasma
Wanahabari na  wahariri  kutoka mkoa  wa Iringa  wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi na watendaji kutoka TFDA leo jijini Mbeya
Wanahabari kutoka mkoa wa Katavi wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi
Wanahabari  kutoka mkoa  wa Rukwa  katika picha ya pamoja na watendaji wa TFDA na mgeni rasmi
Wanahabari  kutoka mkoa  wa Mbeya  katika picha ya pamoja na watenda wa TFDA leo jijini Mbeya
Wanahabari na  wahariri wakiwa katika  warsha ya TFDA leo  jijini Mbeya
Warsha  ikiendelea  katika  ukumbi wa RMO Mbeya

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni