HOPE SERVICE STATION

nsekwa

ALTEZA

Jumapili, 25 Mei 2014

SIR ALEX FERGUSON AMPA ZAWADI ANGEL di MARIA YA MCHEZAJI BORA WA MECHI YA FAINALI YA UEFA


Star man: Sir Alex Ferguson presented Angel Di Maria with his man-of-the-match award after the game
Nyota wa mchezo: Sir Alex Ferguson akimpatia zawadi Angel Di Maria kama mchezaji bora wa mechi.
Imechapishwa Mei 25, 2014, saa 8:51 mchana
KIBABU Sir Alex Ferguson alishindwa kuvumulia katika mchezo wa jana baada ya winga wa Real Madrid, Angel di Maria kuonesha kiwango cha juu  na kuamua kumpa zawadi ya mchezaji bora wa mechi ya fainali ya UEFA mwaka huu.
Gwiji huyo wa Manchester United  alivutiwa sana na kiwango cha Di Maria katika mchezo wa jana na kuisaidia Real Madrid kushinda mabao 4-1 dhidi ya majirani zao, Atletico Madrid, mjini Lisbon.
On the run: Di Maria was Real Madrid's standout performer in Lisbon
Akikimbiza: Di Maria alikuwa nguzo ya  Real Madrid usiku wa jana mjini Lisbon

Time to celebrate: The Argentinean impressed for Madrid as they claimed their 10th European Cup
Muda wa sherehe:  Muargentina huyo alifanya kazi kubwa kuwasaidia Real Madrid kutwaa ndoo yao ya 10 ya Ulaya.

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni