HOPE SERVICE STATION

nsekwa

ALTEZA

Jumatano, 28 Mei 2014

NYUMBA INAUZWA ENEO LA KIHODOMBI IRINGA BEI TSH MILIONI 13.1


Nyumba  hii  iliyopo  eneo la Kihondombi katika Manispaa ya  Iringa  inauzwa  kiasi cha Tsh  milioni 13.1 maelewano  yapo nyumba ina umeme  ,maji  yapo  mlangoni  bado  kuingizwa  ukubwa wa  eneo ni urefu mita 14 na upanda  mita 14 KWA  MAWASILIANO TUPIGIE NAMBA     0754 026 299

Hakuna maoni:

Chapisha Maoni